Searching...
Jumatatu, 1 Julai 2013

HALI YA MISRI NI TETE,ANGALIA MAELFU YA WAANDAMANAJI WANAOMPINGA RAIS MOHAMMED MURSI

 Opponents of Egypt's Islamist President Mohammed Morsi wave national flagsin Tahrir Square in Cairo, Egypt, Friday, June 28, 2013. Elsewhere, thousands of supporters of Egypt's embattled president are rallying in the nation's capital in a show of support ahead of what are expected to be massive opposition-led protests on June 30 to demand Mohammed Morsi's ouster. (AP Photo/ Amr Nabil)
pixel
Misri inaadhimisha mwaka mmoja wa rais wao Mohammed Mursi kushika madaraka ya chi hiyo kwa maandamano ya umma ambapo vyama vya upinzani nchini humo vimedhamiria kumuondosha madarakani rais huyo wakati huo huo wale wanaomuunga mkono wameapa kumlinda rais huyo kwa nguvu na uwezo wao wote hadi mwisho
Na DW Swahili.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!