



Askari moja wa FARDC na polisi wamefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kuzalilisha maiti kunako uwanja wa mapigano kaskazini mwa Mji wa Goma huko Kivu kaskazini.askari huyu na polisi wasema kuwa watasubiri mawakili wao ili wajitetetee vilivyo mbele ya vyombo vya sheria.

Kiongozi wa umoja wa mataifa huko Goma nchini DRC akizungumza na waandishi wa habari hii leo kuhusiana na haki ya mwanamke pamoja na majukumu yao.

Wanawake huko Goma wakimsikiliza kiongozi wa UN Kivu kaskazini kunako jengo la akina mama Mjini humo.
HABARI NA PICHA NA AUSTERE MALIVIKA DRC
0 comments:
Chapisha Maoni