Searching...
Alhamisi, 4 Julai 2013

BIG BROTHER JUMAPILI HII KUTUMBUIZWA NA MTANZANIA


Anajulikana kwa Jina la Wakazi ....Ni Mtanzania Ambae yuko katika harakati za Hip Hop muda mrefu japo kipindi cha nyuma alikuwa akizifanyia hizo harakati Marekani ..ila kwa sasa Yupo Tanzania ....Jumapili hii Aburudisha katika Show ya Big Brother ya Kila Jumapili.....Hongera Brooooooo tunaomba usituangushe tutakua nyuma yako usiogope

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!