Searching...
Jumatano, 19 Juni 2013

UTABIRI WA HALI YA HEWA LEO JUNI 19 UKIWA NA TAHADHARI


           WIZARA YA UCHUKUZI
              MAMLAKA  YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12 ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
                        TAREHE 19/06/2013.

[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
[Mikoa ya Tanga, Lindi na Mtwara ]:

Hali ya mawingu kiasi mvua nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.

[Mikoa ya Dar es Salaam na  Pwani]:
[Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa ya Kigoma, Rukwa na Tabora] :
[Mikoa ya Iringa, Mbeya na Ruvuma]:
[Mikoa ya Dodoma, Morogoro na Singida ]:
[Mikoa ya Kagera, Mara, Mwanza na Shinyanga]:

Hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.

Tahadhari:  Upepo mkali unaozidi kilomita 40 kwa saa na mawimbi makubwa yanayozidi mita 2.0 yanatarajiwa    katika maeneo ya ukanda wote wa Pwani. Tafadhali chukua tahadhari.

VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:


MJI
Kiwango cha juu cha joto
Machweo (Saa)
ARUSHA
22°C               
12:30
D'SALAAM
31°C           
12:13
DODOMA
27°C
12:29
KIGOMA           
28°C
12:54
MBEYA
20°C
12:32
MWANZA
29°C
12:45
TABORA
28°C
12:42
TANGA
29°C
12:17
ZANZIBAR
29°C           
12:13
PEMBA
28°C           
12:17
MOROGORO
28°C           
12:20

Upepo wa Pwani:Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini  kwa kasi ya km 40 kwa saa kwa Pwani yote.

Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Makubwa .

Matazamio kwa usiku wa leo Jumatano 19/06/2013: Mabadiliko kidogo.

Utabiri huu umetolewa leo tarehe 19/06/2013.

Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!