Searching...
Jumanne, 18 Juni 2013

MTANZANIA ADAIWA KUPOTEZA MAISHA BAADA YA MADAWA YA KULEVYA KUMPASUKIA TUMBONI AKIWA NJIANI ITALIA




Mtanzania aliyejulikana kwa jina moja la Sonia anayedaiwa kufariki dunia katika tukio hilo.
Ilikuwa ni kutoka UK kwenda Italy na mauti
yakamkuta dada huyu huko,kweli drugs noumaaa Jamani jamani msiwaige wa Nigeria jamani!!hawa wanaijeria watawaponza maana wanawapa maneno matamu huku wanawamaliza taratiibuu, Sonia ni msichana aliyekuwa anaishi Uk na chanzo cha habari hii kinasema alipata connection ya Nigerians wanaoishi Uk kupeleka sembe Italy, yaliyomkuta ni yale mambo kucheza segere ndani ya tumbo lake na kupelekea umati wake (vitu vimepasukia kwa tumbo)
kweli haya majanga jamani kataeni msiwe warahisi kukubali vitu kwa sababu ya ugumu wa maisha, hakuna permanent situation so hicho kipindi kigumu kitapita tu, kila siku nawaletea mifano na uthibitisho kwamba hivyo vitu ni noma lakini hamkomi.

CHANZO http://www.thechoicetz.com
kupitia Demasho blog.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!