Searching...
Alhamisi, 13 Juni 2013

UTABIRI WA HALI YA HEWA LEO ALHAMISI JUNE 13,2013



WIZARA YA UCHUKUZI
                               MAMLAKA  YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.

UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12 ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 13/06/2013.

[Mikoa  ya  Tanga, Dar es Salaam na  Pwani ]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:

Hali ya mawingu kiasi, Mvua nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua

[Mikoa ya Kagera, Mara,  Mwanza na Shinyanga]:
[Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa ya  Mtwara, Morogoro  na Lindi]:
[Mikoa ya Kigoma, Rukwa na Tabora] :
[Mikoa ya Iringa, Mbeya na Ruvuma]:
[Mikoa ya Dodoma na Singida ]:

Hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.

VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:


MJI
Kiwango cha juu cha joto
Machweo (Saa)
ARUSHA
20°C               
12:30
D'SALAAM
31°C           
12:13
DODOMA
26°C
12:29
KIGOMA           
29°C
12:54
MBEYA
20°C
12:32
MWANZA
29°C
12:45
TABORA
27°C
12:42
TANGA
28°C
12:17
ZANZIBAR
28°C            
12:13
PEMBA
27°C           
12:17
MOROGORO
28°C           
12:20

Upepo wa Pwani:Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini kwa kasi ya km 30 kwa saa: kwa Pwani 
 ya Kaskazini na kutoka Kusini-Mashariki kwa Pwani ya Kusini

Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Makubwa kiasi.

Matazamio kwa usiku wa leo Alhamisi 13/06/2013: Mabadiliko kidogo.

Utabiri huu umetolewa leo tarehe 13/06/2013.

Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.


0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!