WIZARA YA UCHUKUZI
                               MAMLAKA  YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12
ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO. 
TAREHE 11/06/2013. 
| 
[Mkoa wa Tanga]: 
[Visiwa vya Unguja na
  Pemba]: |  | 
Hali ya mawingu kiasi, Mvua
  katika maeneo machache na vipindi vya jua | 
| 
[Mkoa wa Mara]: |  | 
Hali ya mawingu kiasi,
  ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua | 
| 
[Mikoa ya Dar es
  Salaam,  Morogoro  na Pwani]: 
[Mikoa ya Arusha,
  Kilimanjaro na Manyara]:  
[Mikoa ya Kagera,  Mwanza na Shinyanga]: 
[Mikoa ya Kigoma, Rukwa na
  Tabora] : 
[Mikoa ya Iringa, Mbeya na
  Ruvuma]: 
[Mikoa ya Dodoma na Singida
  ]: 
[Mikoa ya  Mtwara 
  na Lindi]: |  | 
Hali ya mawingu kiasi na vipindi
  vya jua. | 
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
| 
MJI | 
Kiwango
  cha juu cha joto | 
Machweo
  (Saa) | 
| 
ARUSHA | 
22°C               
   | 
12:30 | 
| 
D'SALAAM | 
31°C           
   | 
12:13 | 
| 
DODOMA | 
27°C | 
12:29 | 
| 
KIGOMA             | 
29°C | 
12:54 | 
| 
MBEYA | 
24°C | 
12:32 | 
| 
MWANZA | 
32°C | 
12:45 | 
| 
TABORA | 
30°C | 
12:42 | 
| TANGA | 
29°C | 
12:17 | 
| 
ZANZIBAR | 
31°C           
   | 
12:13 | 
| 
PEMBA | 
29°C           
   | 
12:17 | 
| 
MOROGORO | 
28°C           
   | 
12:20 | 
Upepo wa Pwani:Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya
km 40 kwa saa kutoka Kusini-Mashariki: kwa Pwani  
                               ya
kusini. na  kwa
kasi ya km 40 kwa saa kutoka Kusini kwa Pwani ya kaskazini
Hali ya bahari:
Inatarajiwa kuwa na mawimbi Makubwa.
Matazamio kwa
usiku wa leo Jumanne 11/06/2013: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo
tarehe 11/06/2013. 
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.
 
 
0 comments:
Chapisha Maoni