Searching...
Alhamisi, 20 Juni 2013

UTABIRI WA HALI YA HEWA IJUMAA JUNE 21,2013 UKIWA NA TAHADHARI


WIZARA YA UCHUKUZI
                               MAMLAKA  YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12 ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
                        TAREHE 21/06/2013.

[Mikoa ya Dar es Salaam ,Tanga na  Pwani]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
[Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara]:
Hali ya mawingu kiasi mvua nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
[Mkoa wa Mara]:
Hali ya mawingu kiasi, ngurumo katika maeneo machache  na vipindi vya jua.

[Mikoa ya Kigoma, Rukwa na Tabora] :
[Mikoa ya Iringa, Mbeya na Ruvuma]:
[Mikoa ya Dodoma, Morogoro na Singida ]:
[Mikoa ya Kagera, Mwanza na Shinyanga]:
[Mikoa ya Lindi na Mtwara ]:

Hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.

Tahadhari:   
Upepo mkali unaozidi kilomita 40 kwa saa na mawimbi makubwa yanayozidi mita 2.0 yanatarajiwa    katika maeneo ya ukanda wote wa Pwani. Tafadhali chukua tahadhari.

VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
         

MJI
Kiwango cha juu cha joto
Machweo (Saa)
ARUSHA
               22°C               
12:32
D'SALAAM
            31°C           
12:14
DODOMA
27°C
12:29
KIGOMA           
29°C
12:55
MBEYA
21°C
12:34
MWANZA
29°C
12:49
TABORA
28°C
12:43
TANGA
30°C
12:18
ZANZIBAR
             29°C            
12:14
PEMBA
             27°C           
12:18
MOROGORO
          29°C       
    12:21   

Upepo wa Pwani:Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini-Mashariki  kwa kasi ya km 30 kwa saa katika Pwani
                               Kaskazini na kwa kasi ya km 40 kwa saa kwa pwani ya kusini.

Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Makubwa kiasi hadi makubwa

Matazamio kwa usiku wa leo Ijumaa 21/06/2013: Mabadiliko kidogo.

Utabiri huu umetolewa leo tarehe 21/06/2013.

Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!