Chama cha wananchi CUF kimeendeleza ubabe wake huko zanzibar baada ya mgombea wake ambaye kwa sasa ni mheshimiwa mtarajiwa baadaye atakapoapishwa bwana YUSSUF SALUM HUSSEIN kuibuka kidedea katika uchaguzi mdogo kufuatia kifo cha aliyekua mgombea wa jimbo hilo marehemu Salim Hemed kufariki dunia kwa shinikizo la damu mapema mwaka huu
haya hapa ndiyo matokeo kamili
CHADEMA 12 SITY USSY SHAIBU
CCM 402 MASAR HASSAN SAID
CUF 2708 YUSUPH SAKUM HUSSEIN
ADC 114 SAID MIRAJ ABDALLAH
0 comments:
Chapisha Maoni