Kijana
mmoja mkazi wa kijiji cha Mangida kata ya Msange jimbo la Singida
kaskazini ambaye hakuweza kufahamika jina lake mara moja, akidhibitiwa
na polisi baada ya kujaribu kuvuruga mkutano wa hadhara ulioitishwa kwa
ajili ya mkuu wa mkoa wa Singida kuhutubia wananchi.(Picha na Nathaniel
Limu).
Alhamisi, 20 Juni 2013
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 comments:
Chapisha Maoni