Searching...
Jumamosi, 1 Juni 2013

KINANA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI WANGING'OMBE

1 
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abulrahman Kinana akizindua mradi wa ufugaji nyuki katika kitongoji cha Wangamilo kwa kuutundika mzinga wa nyuki kwenye mti, mradi huo unaedeshwa na jumuiya ya wazazi ya CCM Wilaya ya Wanging’ombe, Kinana aliipatia jumuiya hiyo  mizinga mingine 25 ili kuendeleza mradi wao
 14 
Umati wa wananchi ukinyanyua mikono juu kuashiria kufurahishwa na hotuba ya Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana hayupo pichani16 
Katibu wa Itikadi , Siasa na Uenezi CCM Nape Nnauye akimpiga picha Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahaman Kinana wakati alipokuwa akihutubia katika kitongoji cha Wangamiko8 
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahmani Kinana na Katibu Wa Itikadi , Siasa na Uenezi Nape Nnauye waakichanganya Mchanga na saruji wakati walipotembelea na kukagua ujenzi wa zahanati ya Samaria Wangingombe7 
Hapa akikagua ujenzi wa Zatanati ya Samaria na kuuliza maswali kadhaa, hata hivyo aliridhishwa kwa mjinsi wananchi wanavhoshiriki shughuli za maendeleo katika kata hiyo. 11 
Hapa akiangalia unga wa mahindi unaotengenezwa na Kiwanada cha Mbomole Investiment Co. Cha Malangali Wanging’ombe wakati alipotembelea maonyesho ya wajasiriamali na wakulima wilayani humo5 
Hapa akizungumza na wananchama wa shina moja wapo katika kata ya Iwawa Makete shina hili linaongozwa na mzee Danke Sanga
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki zoezi la kufyatua tofari wakati alipotembelea ujenzi wa zahanati ya Samaria akiwa njiani kuelekea Malangali Wilayani Wanging’ombe mkoani Njombe.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!