Searching...
Alhamisi, 20 Juni 2013

JESHI LA POLISI SONGEA LAKAMATA MENO 18 YA TEMBO NA NOTI BANDIA

 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Deudedit Nsimeki akiwa ameshikaNoti bandia ambazo zime kamatwa wakati wa kuuza mahindi katika soko la sodeko manspaa ya songea
 Hayo ni meno ya tembo ambayo yamekamatwa katika kijijicha hanga yakiwa meno 18 ambayo yalikuwa yakisafirishwa kwenda Dar es salaam
 ona watu walivyo kuwa hawana huruma hayo ni meno ya tembo wadogo ambao walikuwa wakitegemewa kuwa wata kuwa rasilimali ya taifa lakini masikini wawindaji haramu wame katisha maisha ya tembo hao
 Noti bandia zilizo kamatwa manspaa ya songea katika soko la Sodeko, kwa mjibu wa kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma Amesema kuzijua noti hizo ni kulingana kwa namba pia noti zina kuwa nyepesi
 Jeshi la Polisi Mkoani Ruvuma limefanikiwa kukamata Vipande 18 vya Meno ya Tembo vikiwa kwenye Mfuko wa Salfeti.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Deusdedit Nsmeki amefanikisha kukamatwa kwa meno ya Tembo vipande 18 vikiwa kwenye Mfuko wa Salfeti maeneo ya Hanga Misheni wilaya ya Namtumbo. 
picha kwa hisani ya DEMASHO BLOG

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!