Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la MapinduziDk.Ali Mohamed
Shein,akizungumza na Balozi wa Uholanzi nchiniTanzania Dr.Ad
Koekkoek,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar,leo asubuhikuaga Rais baada ya
kumaliza muda wake wa kazi .
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akifuatana na Balozi wa Uholanzi nchiniTanzania Dr.Ad Koekkoek,aliyefika Ikulu Mjini Zanzibar, kumuaga Raisbaada kwa kumaliza muda wake wa kazi nchini leo asubuhi.
[Picha na Ramadhan Othman, Ikulu.]



0 comments:
Chapisha Maoni