Searching...
Ijumaa, 21 Juni 2013

ARSENE WENGER UBAHILI SASA BASI,HIGUAN NA ROONY KUTUA ARSENAL


Key recruit: Argentina striker Gonzalo Higuain is on his way to Arsenal
 Arsenal sasa wameingia kwenye orodha ya vilabu vya ligi kuu England vinavyotumia fedha nyingi kusajili baada ya kufikia hatua za mwisho za kumsajili mshambuliaji wa Real Madrid Gonzalo Higuain ambaye atawagharimu kiasi cha paundi millioni 50.

On his way? Wayne Rooney may yet join Higuain at Arsenal
WAYNE ROONY AKIWA KAZINI NA TIMU YA TAIFA ENGLAND DHIDI YA BRAZIL.
wakati bilionea huyo wa Arsenal Alisher Usmanov akimsainisha Higuan amemtaka kocha wa klabu hiyo Arsene Wenger kutoa kitita kingine ili kuipata saini ya mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney ambaye ameshaweka wazi kwamba anataka kuondoka katika klabu hiyo,ambapo tayari taarifa zinasema kama arsenal watachelewa kumsainisha huenda akatua Chelsea kwani ni mmoja kati wachezaji wanaotakiwa na Mourinyo.

Change in policy: Arsene Wenger is now finally splashing the cash
 Mapema mwezi huu mkurugenzi wa klabu hiyo ya Arsenal Ivan Gazidis alisema kwa sasa klabu ipo katika hali nzuri kununua wachezaji wenye majina makubwa kama zinavyofanya CHELSEA,MAN U na MAN CITY.

Incoming? Thiago Alcantara is a target of Manchester United
 THIAGO ALCANTARA
Inasemekana ujio wa mchezaji THIAGO ALCANTARA kutoka Barcelona ni moja ya sababu inayomkimbiza Roony Manchester United.


0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!