Searching...
Jumanne, 14 Mei 2013

VODACOM WAWAPA RAHA MISUNGWI

Katibu Tawala wa Wilaya ya Misungwi Elius Nyakia akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa mnara mpya wa Vodacom katika kijiji cha Lukanga Wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza. Anayemsaidia kukata utepe huo ni Mkuu wa Vodacom Kanda ya Ziwa Herieth Koka. Wanaoshuhudia uzinduzi huo kutoka kushoto ni Meneja Uhusiano wa Mambo ya Nje wa Vodacom Tanzania Salum Mwalim, Mwenyekiti wa Kijiji cha Lukanga Bw Enos Malale na Meneja wa Vodacom Foundation Mwamvua Mlangwa.   
Mnara mpya wa Vodacom uliozinduliwa katika kijiji cha Lukanga Wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza. Kabla ya Vodacom kujenga mnara huo, kijiji hicho hakijawahi kuwa na huduma za uhakika za simu za mkononi.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!