WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12
ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 15/05/2013.
[Mkoa wa Mara,]:
|
![]() |
Hali ya mawingu kiasi, na
ngurumo katika maeneo machache na
vipindi vya jua
|
[Mikoa ya Tanga, Dar Es Salaam na Pwani]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
|
![]() |
Hali ya mawingu kiasi na
mvua katika
maeneo machache na vipindi vya
jua.
|
[Mikoa ya Kilimanjaro,
Arusha na Manyara]:
[Mikoa ya Mtwara na Lindi]:
|
![]() |
Hali ya mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika maeneo machache na
vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Kagera, Mwanza na Shinyanga]:
[Mikoa ya Dodoma, Singida
na Tabora]:
[Mikoa ya Morogoro Mbeya na
Iringa]:
[Mikoa ya Rukwa, Kigoma na
Ruvuma]:
|
![]() |
Hali ya mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango cha juu cha
joto
|
Machweo (Saa)
|
ARUSHA
|
21°C
|
12:29
|
D'SALAAM
|
32°C
|
12:12
|
DODOMA
|
28°C
|
12:28
|
KIGOMA
|
29°C
|
12:53
|
MBEYA
|
21°C
|
12:33
|
MWANZA
|
29°C
|
12:44
|
TABORA
|
29°C
|
12:41
|
TANGA |
31°C
|
12:16
|
ZANZIBAR
|
30°C
|
12:12
|
PEMBA
|
29°C
|
12:16
|
MOROGORO
|
31°C
|
12:19
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 30 kwa saa; kutoka Kusini
kwa Pwani ya Kaskazini na
kutoka Kusini-mashariki kwa Pwani ya
Kusini.
Hali ya bahari:
Inatarajiwa kuwa na mawimbi Makubwa
Kiasi.
Utabiri huu umetolewa leo
tarehe 15/05/2013.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA
0 comments:
Chapisha Maoni