Searching...
Jumatano, 15 Mei 2013

!!!!!BREAKING NEWSSSSSS!!!!!!RAIS WA NIGERIA ATANGAZA HALI YA HATARI KATIKA MAJIMBO MATATU NCHINI HUMO.

 
RAIS GOODLUCK JONATHAN WA NIGERIA.
Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan ametangaza hali ya hatari katika majimbo matatu nchini humo ya Borno, Yobe na Adamawa, na kuamrisha wanajeshi zaidi wapelekwe katika majimbo hayo ili kukabiliana na kundi la Kiislamu la Boko Haram. 

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!