Searching...
Alhamisi, 30 Mei 2013

UTABIRI WA HALI YA HEWA MAY 31,2013 IJUMAA



           WIZARA YA UCHUKUZI
                               MAMLAKA  YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12 ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 31/05/2013.


[Mikoa ya Kagera na Mwanza]:

Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo  katika  maeneo machache na vipindi vya jua.

[Mikoa ya Tanga , Dar es Salaam na Pwani]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:

Hali ya mawingu kiasi, mvua nyepesi katika  maeneo  machache   na vipindi  vya jua

[Mkoa wa Mara]:

Hali ya mawingu kiasi,  ngurumo  katika  maeneo machache na vipindi vya jua.

[Mikoa ya Morogoro , Iringa, Rukwa  na Ruvuma]:
[Mikoa ya Shinyanga, Tabora na Kigoma] :
[Mikoa ya, Singida, Mbeya na Dodoma]:
[Mikoa ya Kilimanjaro  na Manyara]:
 [Mkoa wa Lindi na Mtwara]:
[Mkoa wa, Arusha]:
Hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.

VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:

MJI
Kiwango cha juu cha joto
Machweo (Saa)
ARUSHA
24°C                
12:28
D'SALAAM
30°C           
12:11
DODOMA
28°C
12:26
KIGOMA           
31°C
12:52
MBEYA
24°C
12:31
MWANZA
31°C
12:43
TABORA
29°C
12:40
TANGA
30°C
12:15
ZANZIBAR
30°C           
12:11
PEMBA
29°C           
12:04
MOROGORO
31°C            
12:18

Upepo wa Pwani:Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini Mashariki kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani ya
                           Kaskazini na kwa kasi ya km 20 kwa saa kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Madogo hadi Makubwa kiasi.

Matazamio kwa usiku wa leo Ijumaa 31/05/2013: Mabadiliko kidogo.

Utabiri huu umetolewa leo tarehe 31/05/2013.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!