Searching...
Ijumaa, 17 Mei 2013

UTABIRI WA HALI YA HEWA MAY 18-JUMAMOSI



WIZARA YA UCHUKUZI
                               MAMLAKA  YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12 ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 18/05/2013.


[Mikoa ya Tanga, Dar Es Salaam na Pwani]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:

Hali ya mawingu kiasi, mvua katika  maeneo machache na vipindi  vya jua
[Mkoa wa Morogoro Kusini (Mahenge)]


Hali ya mawingu kiasi, mvua nyepesi katika  maeneo machache na vipindi  vya jua
[Mikoa ya Kagera na Mara]


Hali ya mawingu kiasi, ngurumo na vipindi  vya jua.

[[Mikoa ya Dodoma, Singida, Mwanza na Tabora]:
[Mikoa ya Ruvuma, Mbeya na Iringa]:
[Mikoa ya, Rukwa, Kigoma na Shinyanga]:
[Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara]:
[Mkoa wa Morogoro Kaskazini]
[Mikoa ya Lindi na Mtwara]:
Hali ya mawingu kiasi na vipindi  vya jua.
   
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:

MJI
Kiwango cha juu cha joto
Machweo (Saa)
ARUSHA
23°C                
12:29
D'SALAAM
30°C           
12:12
DODOMA
29°C
12:28
KIGOMA           
31°C
12:53
MBEYA
23°C
12:33
MWANZA
30°C
12:44
TABORA
29°C
12:41
TANGA
31°C
12:16
ZANZIBAR
31°C           
12:12
PEMBA
30°C           
12:16
MOROGORO
29°C           
12:19

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma  kwa kasi ya km 20 kwa saa kutoka   Kusini-mashariki kwa Pwani  ya kaskazini na kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani ya Kusini   
                      
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Madogo hadi makubwa kiasi

 Matazamio kwa usiku wa leo Jumamosi: 18/05/2013: Mabadiliko kidogo.

Utabiri huu umetolewa leo tarehe 18/05/2013. 

Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!