WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12
ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 13/05/2013.
|
[Mikoa ya Kagera, Mwanza,
na Mara,]:
[Mkoa wa Kigoma]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
na ngurumo katika maeneo machache na
vipindi vya jua
|
|
[Mikoa ya Tanga, Dar Es
Salaam na Pwani]:
[Mikoa ya Kilimanjaro,
Arusha na Manyara]: [Visiwa vya Unguja na Pemba]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi na
mvua katika
maeneo machache na vipindi vya
jua.
|
|
[Mikoa ya Mbeya na Iringa]:
[Mikoa ya Mtwara na Lindi]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
nyepesi mvua katika maeneo machache na
vipindi vya jua.
|
|
[Mikoa ya Dodoma, Singida na Tabora]:
Mikoa ya Morogoro na
Shinyanga]:
[Mikoa ya Rukwa na Ruvuma]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
|
MJI
|
Kiwango cha juu cha
joto
|
Machweo (Saa)
|
|
ARUSHA
|
23°C
|
12:29
|
|
D'SALAAM
|
31°C
|
12:12
|
|
DODOMA
|
29°C
|
12:28
|
|
KIGOMA
|
29°C
|
12:53
|
|
MBEYA
|
24°C
|
12:33
|
|
MWANZA
|
28°C
|
12:44
|
|
TABORA
|
30°C
|
12:41
|
TANGA |
31°C
|
12:16
|
|
ZANZIBAR
|
30°C
|
12:12
|
|
PEMBA
|
30°C
|
12:16
|
|
MOROGORO
|
31°C
|
12:19
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka
Kusini kwa kasi ya km
30 kwa saa katika Pwani ya
Kaskazini na kutoka Kusini-mashariki kwa Pwani ya Kusini
Hali ya bahari:
Inatarajiwa kuwa na mawimbi makubwa
kiasi .
Matazamio kwa
usiku wa leo Jumatatu: 13/05/2013: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo
tarehe 13/05/2013.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.
0 comments:
Chapisha Maoni