Searching...
Jumamosi, 4 Mei 2013

UTABIRI WA HALI YA HEWA MAY 04 UKIWA NA ANGALIZO



WIZARA YA UCHUKUZI

                               MAMLAKA  YA HALI YA HEWA.

S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM

TELEFAX-2460772.

UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12 ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.

TAREHE 04/05/2013.




[Mikoa ya Kagera, Mara, Mwanza  na  Shinyanga]:
 [Mikoa ya Kigoma  ]:

Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika  maeneo machache na vipindi  vya jua
[Mikoa ya Dar Es Salaam, Pwani na Tanga]:
Visiwa vya Unguja na Pemba]:

Hali ya mawingu , mvua katika baadhi ya
maeneo  na vipindi  vya  jua.

[Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara]:
[Mikoa ya Morogoro na Iringa]:

Hali ya mawingu kiasi , mvua katika
maeneo machache  na vipindi  vya  jua.
[Mikoa ya Mtwara , Lindi na Ruvuma]:
[Mikoa ya Rukwa, Mbeya  na Tabora]:
[Mikoa ya Dodoma na Singida ]:

. Hali ya mawingu kiasi na vipindi  vya  jua.



TAHADHARI: 
TUNARAJIA KUWA NA ONGEZEKO LA MVUA KATIKA MIKOA YA TANGA, PEMBA NA UNGUJA

TAFADHALI CHUKUA TAHADHARI.



VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:

MJI
Kiwango cha juu cha joto
Machweo (Saa)
ARUSHA
                                20°C               
12:30
D'SALAAM
          30°C           
12:15
DODOMA
27°C
12:30
KIGOMA           
26°C
12:55
MBEYA
20°C
12:36
MWANZA
27°C
12:45
TABORA
29°C
12:43
TANGA
30°C
12:18
ZANZIBAR
30°C           
12:15
PEMBA
28°C           
12:18
MOROGORO
32°C           
12:22



Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma  kutoka  Kusini kwa kasi ya km 30 kwa saa katika Pwani  ya Kaskazini na kutoka Kusini-Mashariki kwa Pwani ya Kusini



 Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi makubwa kiasi

 Matazamio kwa usiku wa leo Jumamosi: 04/05/2013: Mabadiliko kidogo.



Utabiri huu umetolewa leo tarehe 04/05/2013. 

 Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!