Searching...
Jumamosi, 4 Mei 2013

KATIBU MKUU EAC AFUNGUA KONGAMANO

Katibu mkuu wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki Dr. Richard Sezibera leo amefungua rasmi kongamano la waandishi wa Habari Tanzania pamoja nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika ya Mashariki katika kuadhimisha ya siku ya uhuru wa vyombo vya Habari Duniani uliobeba kauli mbiu “USALAMA NA MAZINGIRA BORA YA KUFANYIA KAZI KWA WAANDISHI WA HABARI NA WAARIRI AFRIKA YA MASHARIKI”


0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!