Searching...
Jumatatu, 6 Mei 2013

UTABIRI WA HALI YA HEWA LEO JUMATATU 06.05.2013 UKIWA NA TAHADHARI



WIZARA YA UCHUKUZI
                               MAMLAKA  YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12 ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 06/05/2013.

[Mikoa ya Kagera, Mara, Mwanza  na  Shinyanga]:
[Mkoa wa Kigoma  ]:

Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika  maeneo machache na vipindi  vya jua
[Mikoa ya Dar Es Salaam, Pwani na Tanga]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
Hali ya mawingu kiasi na mvua katika
maeneo  machache na vipindi  vya  jua.

[Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara]:
[Mikoa ya Morogoro, Mtwara na  Lindi]:

Hali ya mawingu kiasi , mvua nyepesi katika
maeneo machache  na vipindi  vya  jua.

[Mikoa ya Iringa,Rukwa, Mbeya  na Ruvuma]  :
[Mikoa ya Dodoma, Singida na Tabora]:



Hali ya mawingu kiasi na vipindi  vya  jua.

TAHADHARI: UPEPO MKALI NA MAWIMBI MAKUBWA YANAYOZIDI MITA 2 UNATARAJIWA KATIKA   
                         BAADHI YA MAENEO YA PWANI YA KUSINI.TAFADHALI CHUKUA TAHADHARI

VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
Kiwango cha juu cha joto
Machweo (Saa)
ARUSHA
22°C               
12:30
D'SALAAM
30°C           
12:15
DODOMA
27°C
12:30
KIGOMA           
29°C
12:55
MBEYA
24°C
12:36
MWANZA
28°C
12:45
TABORA
30°C
12:43
TANGA
27°C
12:18
ZANZIBAR
26°C           
12:15
PEMBA
27°C           
12:18
MOROGORO
27°C           
12:22

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma  kutoka  Kusini kwa kasi ya km 30 kwa saa katika Pwani  ya                           Kaskazini na kutoka Kusini-Mashariki kwa kasi ya km 40 kwa saa kwa Pwani ya Kusini

Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi makubwa.

          Matazamio kwa usiku wa leo Jumatatu: 06/05/2013: Mabadiliko kidogo.

          Utabiri huu umetolewa leo tarehe 06/05/2013.
 
          Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!