WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12
ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 22/05/2013.
[Mikoa ya, Njombe na Mbeya ( Katika Maeneo ya Miinuko)]:
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika maeneo machache
na vipindi vya jua
|
|
[Mikoa ya Kagera na
Mara.]
|
Hali ya mawingu kiasi
,ngurumo katika maeneo machache na
vipindi vya jua.
|
|
[Mkoa ya Morogoro, Dar es
Salaam, Pwani na Tanga]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
[Mkoa ya Mwanza na
Shinyanga]:
[Mikoa ya Singida na
Dodoma]:
[Mikoa ya Kilimanjaro,
Arusha na Manyara]:
[Mikoa ya, Kigoma na
Tabora]:
[Mikoa ya Rukwa, Ruvuma
,Lindi, na Mtwara]:
|
Hali ya mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango cha juu cha
joto
|
Machweo (Saa)
|
ARUSHA
|
23°C
|
12:28
|
D'SALAAM
|
31°C
|
12:11
|
DODOMA
|
29°C
|
12:26
|
KIGOMA
|
30°C
|
12:52
|
MBEYA
|
22°C
|
12:31
|
MWANZA
|
30°C
|
12:43
|
TABORA
|
29°C
|
12:40
|
TANGA |
31°C
|
12:15
|
ZANZIBAR
|
30°C
|
12:11
|
PEMBA
|
30°C
|
12:15
|
MOROGORO
|
30°C
|
12:18
|
Upepo wa Pwani:Unatarajiwa kuvuma kutoka
Kusini Mashariki kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani ya kaskazini na kwa kasi ya km 20 kwa saa kwa
pwani ya kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Makubwa kiasi .
Matazamio kwa usiku wa leo Jumatano:
22/05/2013: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo tarehe 22/05/2013.
Na: MAMLAKA YA
HALI YA HEWA TANZANIA
0 comments:
Chapisha Maoni