Searching...
Jumamosi, 11 Mei 2013

UTABIRI WA HALI YA HEWA JUMAPILI MAY 12



WIZARA YA UCHUKUZI
                               MAMLAKA  YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-246077
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12 ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 12/05/2013.

[Mikoa ya Kagera, Mwanza, Shinyanga na Mara,]:
[Mkoa wa Kigoma]:
Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika  maeneo machache na vipindi  vya jua

[Mikoa ya Tanga, Dar Es Salaam na Pwani]:
[Mikoa ya Morogoro]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
 [Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara]:
[Mkoa wa Mbeya na Iringa]:

Hali ya mawingu kiasi na mvua katika
maeneo  machache na vipindi  vya  jua.
[Mkoa wa Mtwara na Lindi]
[Mikoa ya Rukwa na Ruvuma]:
[Mikoa ya Dodoma, Singida na Tabora]:


Hali ya mawingu kiasi na vipindi  vya  jua.


VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
Kiwango cha juu cha joto
Machweo (Saa)
ARUSHA
24°C               
12:29
D'SALAAM
30°C           
12:12
DODOMA
30°C
12:28
KIGOMA           
28°C
12:53
MBEYA
25°C
12:33
MWANZA
26°C
12:44
TABORA
30°C
12:41
TANGA
28°C
12:16
ZANZIBAR
29°C           
12:12
PEMBA
29°C           
12:16
MOROGORO
30°C           
12:19

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma  kutoka  Kusini-mashariki kwa kasi ya km 30 kwa saa katika ukanda wote  wa Pwani  . 

  Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi makubwa kiasi .

Matazamio kwa usiku wa leo Jumapili: 12/05/2013: Mabadiliko kidogo.

Utabiri huu umetolewa leo tarehe 12/05/2013.

Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!