Searching...
Jumanne, 21 Mei 2013

SPIKA AKATAA BUNGE KUTENGUA KANUNI ILI BUNGE LIHOJI RIPOTI YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA

  
MHESHIMIWA SPIKA ANNE MAKINDA
Spika wa Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania mheshimiwa ANNE MAKINDA jioni hii katika kikao cha bunge kinachoendelea ameikataa hoja ya kutengua baadhi ya kanuni za bunge ili kuruhusu wabunge kuchangia mjadala wa kuihoji serikali kuhusu utekelezaji wa ripoti ya haki za binadamu na utawala bora .
hii ni baada ya waheshimiwa wabunge kuomba muongozo wa kutengua kanuni za bunge kama ambavyo imekua ikifanyika katika hoja zingine lakini kwa hili la kuhojiwa serikali kuhusu utekelezwaji wa ripoti ya haki za binadamu na utawala bora amekataa mheshimiwa spika.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!