Searching...
Jumapili, 5 Mei 2013

RAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA MAREHEMU BALOZI ALRED TANDAU JIJINI DAR ES SALAAM.



Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiweka shada la Mau katika kaburi la Marehemu Balozi Afred Tandau wakati wa Mazishi yake yaliyofanyika katika makaburi ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam leo jioni na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kitaifa.

Rais Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo katika kaburi la Waziri wa Zamani wa Kazi ,Marehemu Balozi Alfred Tandau wakati wa mazishi yaliyofanyika katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.Marehemu Alfred Tandau ambaye alishika nyadhifa mbalimbali serikalini alifariki tarehe 30 Mwezi Aprili wiki iliyopita. 
(Picha na Ikulu).
 


0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!