Searching...
Jumapili, 26 Mei 2013

RAIS JK AKUTANA NA MARAIS WASTAAFU WA TANZANIA HUKO ETHIOPIA

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Marais Wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Mzee Benjamin Mkapa na Waziri Mkuu Mstaafu na Katibu Mkuu wa Umoja wa Afrika Mstaafu Dkt Salim Ahmed Salim kuhusiana na sherehe za miaka 50 ya AU alipokutana nao jijini Addis Ababa, Ethiopia, leo  Mei 26, 2013. Viongozi hao wastaafu ni miongoni mwa wageni mashuhuri walioalikwa kwenye sherehe hizo.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na sherehe za miaka 50 ya AU alipokutana nao jijini Addis Ababa, Ethiopia, leo  Mei 26, 2013.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika  Mkutano wa Kanda wa Usimamizi wa Amani, Usalama na Ushirikiano katika DRC na nchi za Maziwa Makuu katika makao makuu ya Umoja wa Afrika leo Mei 26, 2016

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!