Searching...
Jumanne, 7 Mei 2013

MRADI WA WAJASIRIAMALI WANAWAKE WAZINDULIWA DSM

 Mkurugenzi Mtendaji wa CONCERN-Tanzania Bw. James Davey kushoto akieleza namna shirika lake litakavyo tekeleza mradi huo,Katikati ni Mhe.Naibu Waziri Ummy Mwalimu na Kulia ni Balozi wa EU nchini Mhe. Filberto Cerian Sebregondi.

Katika Picha ni Uzinduzi wa  Mradi wa Kuwainua Wanawake Kiuchumi na Kijamii,Mradi unaotekelezwa na Shirika la Kimataifa la CONCERN Tanzania katika Mkoa wa Kigoma Wilaya ya Kasulu,Kigoma na Masasi. Mradi huo Unafadhiliwa na European Union, Umezinduliwa leo jijini Dra es Salaam katika Ofisi za CONCERN Tanzania na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia  na Watoto, Mhe, Ummy Mwalimu.
 Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Mhe.Ummy (katikati ) akielezea namna Wizara inavyowasaidia wanawake kujiinua Kiuchumi na Kijamii. Kushoto kwake ni .Balozi wa EU nchini Mhe.Filberto Cerian Sebregondi.
Balozi wa EU nchini Mhe. Filberto Cerian Sebregondi (katikati) akiteta jambo na Mhe.Ummy Mwalimu Naibu Waziri Maendeleo ya Jamii(kushoto) na MKurugenzi wa Shirika la CONCERN _Tanzania Bw. James Davey

Sehemu ya Wageni waliohudhuria Uzinduzi huo


0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!