Meneja
wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager,George Kavishe akizungumza na
waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya zoezi la upigaji kura kwa
wamamuziki wanaowania tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2013
zilinazoelndelea kupigwa kupitia mitandao ya simu na intanet,wakati wa
mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Meneja
wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager,George Kavishe akizungumza na
waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya zoezi la upigaji kura kwa
wamamuziki wanaowania tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2013
zilinazoelndelea kupigwa kupitia mitandao ya simu na intanet,wakati wa
mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo jijini Dar es
Salaam.Wengine pichani toka kulia ni Mkurugenzi Idara ya Ukuzaji Sanaa
BASATA, Vivian Nsao Shalua,Mratibu wa Tunzo za Muziki Tanzania wa Kutoka
BASATA,Angelo Luhala pamoja na Muwakilishi wa Inovex,Lloyd Zhughu.
Muwakilishi wa Inovex,Lloyd Zhughu akifafanua jambo kwa waandishi wa habari juu ya namna kura zitakavyokuwa zikihesabiwa.
Baadhi ya waandishi wa habari waliokuwepo kwenye mkutano huo.
0 comments:
Chapisha Maoni