Searching...
Jumatatu, 6 Mei 2013

MCHAKATO WA KUPIGA KURA KILI MUSIC AWARD WAANZA.

 Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager,George Kavishe akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya zoezi la upigaji kura kwa wamamuziki wanaowania tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2013 zilinazoelndelea kupigwa kupitia mitandao ya simu na intanet,wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.
 Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager,George Kavishe akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya zoezi la upigaji kura kwa wamamuziki wanaowania tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2013 zilinazoelndelea kupigwa kupitia mitandao ya simu na intanet,wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.Wengine pichani toka kulia ni Mkurugenzi Idara ya Ukuzaji Sanaa BASATA, Vivian Nsao Shalua,Mratibu wa Tunzo za Muziki Tanzania wa Kutoka BASATA,Angelo Luhala pamoja na Muwakilishi wa Inovex,Lloyd Zhughu.
Muwakilishi wa Inovex,Lloyd Zhughu akifafanua jambo kwa waandishi wa habari juu ya namna kura zitakavyokuwa zikihesabiwa.
Baadhi ya waandishi wa habari waliokuwepo kwenye mkutano huo.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!