Searching...
Jumapili, 5 Mei 2013

HILO NDILO BASI LA TAQWA LILILOPATA AJALI IRINGA NA KUUA WATU SITA NA KUJERUHI KIBAO

Hili ndilo basi la Taqwa baada ya kupata ajali mbaya
(Picha zote na mdau Francis Godwin)

Hii ndio ajali mbaya iliyoua 7 Iringa
jamaa akishangaa kilichotokea katika eneo la tukio
Majeruhi wa ajali hiyo mbaya.


hilo ndilo gari lililogongana na basi la Taqwa na kujeruhi watu wengi na sita kufariki dunia.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!