Wananchi wakimuhoji mfanyabiashara wa maji aliyedaiwa kuuza maji feki tukio hili limetokea leo jijini Dar es Salaam.
Mfanyabiashara wa maji aliyetambulika kwa jina la Kigira Mhisho(15) akimwaga maji baada ya kubainika kuwa anauza maji bandia
Wananchi wakifuatilia mzozo baina ya mfanyabiashara wa maji na mteja wake baada ya kubainika kwamba amemuuzia maji bandia
Mfanyabiashara huyo ametambulika kwa
jina la Kagira Mhisho mwenye umri wa miaka 15 inaseemekana kuwa amekuwa
akifanya biashara hiyo kwa kutumia maji kutoka sokoni kariakoo kwa
takribani miaka mitatu sasa.Ninvyema wananchi wakajihadhari na maji
yanayouzwa njiani kwani baadhi ya wafanyabiashara wasiowaaminifu huokota
chupa zilizokwisha tumika na kuzitumia.Ninashauri vyombo husika katika
ukaguzi na kujali afya za walaji kuingilia kati ili
kuepusha wananchi kupata maradhi mbalimbali.(PICHA NA Frank Shija - MAELEZO
kuepusha wananchi kupata maradhi mbalimbali.(PICHA NA Frank Shija - MAELEZO
0 comments:
Chapisha Maoni