ALIYEKUWA Mtaalam wa Magonjwa ya Moyo
katika Hospitali ya Tanzania Heart Institute, Dk. Ferdinand Massau,
aliyefariki katika Hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam, tarehe 16
Alhamisi wiki hii kwa kupata mshituko, aliagwa leo asubuhi katika
hospitali hiyo na ndugu, jamaa na marafiki kabla ya kusafirishwa
kuelekea nyumbani kwake na hatimaye kwenda Ukerewe, mkoani kwa ajili ya
mazishi.
HABARI/PICHA: CHANDE ABDALLAH
0 comments:
Chapisha Maoni