Searching...
Jumamosi, 4 Mei 2013

BLOGGERS WAKUTANA NA KAMPUNI YA TIGO

Mzee wa Matukio, Richard mwaikenda (mwenye kamera) akimueleza jambo mshereheshaji wa shughuli hiyo, Danny Kijo (kushoto)
Brand Manager wa Tigo, William Mpinga (kushoto) akimpa zawadi ya modem Blogger baada ya kujishindia Bahati Nasibu ya papo kwa papo katika hafla fupi ya kukutana na bloggers iliyofanyika kwenye Hoteli ya New Africa jijini Dar es salaam jana.
Asante zee la nyeti kwa kujishindia na wewe ka modem....Mpinga  (kulia) akimkabidhi zawadi yake Henry Mdimu.Bloggers: Kutoka shoto Michuzi Jnr wa Jiachie Blog, John Kitime wa Kitime Blog, Kiff Niga wa King Kiff Blog, Sufiani wa Mafoto Blog, Saleh Ali wa Jembe Blog, Othmani Michuzi wa mtaa kwa mtaa blog na Francis Dande wa Issu Michuzi blog.Eric Mutta, mtaalam wa IT akinadi sera zakeMpiga Drum wa The Tanzanite Band akifanya vitu vyake
Waimbaji wa The Tanzanite band  John Muhina  na Bi. Flora wakitumbuiza bloggers.
wadau kutoka Tigo.
Bloggers katika picha za pamoja za hapa na pale
Bloggers na wadau wengine wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikitolewa na wadau wa blogs
Mwakilishi wa Tigo akiwashukuru bloggers kwa kuhudhuria hafla hiyo.
Salehe 'Jembe' (kulia) akijadiliana jambo na Othman 'mzee wa kitaa'.
Mshauri wa masuala ya habari wa Tigo, Danny Kijo, akiwakaribisha wadau.
....wakati wa kuhakiki mshindi.

HABARI NA PICHA: AABDALLAH MRISHO/GPL.



0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!