Searching...
Jumanne, 30 Aprili 2013

WANAJESHI KUTOKA NCHINI NIGERIA WAITEMBELEA WIZARA YA HABARI.

picha no.3
Katibu Mkuu wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Sethi Kamuhanda  (kulia) akimkabidhi picha ya wamasai Mkurugenzi wa kikosi cha Maji kutoka nchini Nigeria Meja Generali  Ati John (kushoto) wakati wanajeshi 22 kutoka chuo cha Ukamanda na Unadhimu walipomtembelea  ofisini kwake leo jijini Dar es Salaam.
picha no.5
  picha no.2
picha no.6
picha no.7 picha no.8jpg picha no.9
Wanajeshi 22 kutoka chuo cha Ukamanda na Unadhimu cha nchini Nigeria wakiwa katika picha ya pamoja  na wafanyakazi wa wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakati walipoitembelea wizara hiyo leo jijini Dar es Salaam. Wanajeshi hao  kutoka chuo cha Ukamanda na Unadhimu wako nchini kwa  ziara ya mafunzo ya siku tano.


0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!