Searching...
Jumamosi, 27 Aprili 2013

VYAMA VYA SIASA SINGIDA VYATAKIWA KUKEMEA UKEKETAJI

Mwenyekiti wa shirika lisilo la kiserikali la SIAG la mjini Singida, Theresia Mwakasasa akizungumza kwenye ufunguzi wa semina ya siku moja iliyohusu madhara ya ukeketaji na manyanyaso kwa wanawake.Wa kwanza kulia ni Agnete Strom afisa wa shirika la STORM la nchini Norway anayefuata ni Chiku Alli, afisa wa afya na masuala ya jamii katika serikali ya Norway.Wa pili kushoto ni mwakilishi wa shirika lisilo la kiserikali la Fokus la nchini Norway, Anton Popic.
Mratibu wa shirika lisilo la kiserikali la SIAG la mjini Singida, Hadija Juma akitoa mada yake ya utekelezaji wa shughuli ya mapambano dhidi ya vitendo vya ukeketaji.

Afisa wa afya na masuala ya jamii katika serikali ya Norway, Chiku Alli akitoa mada yake iliyohusu elimu juu ya madhara yatokanayo na vitendo vya ukeketaji.
Afisa wa afya na masuala ya kijamii wa serikali ya Norway,Chiku Alli akichangia mada zilizokuwa zikitolewa zinazohusu madhara yatokanayo na vitendo vya ukeketaji.
Baadhi ya wanasemina ya mapambano dhidi ya vitendo vya ukeketaji iliyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Hill mjini Singida.
Baadhi ya wanasemina wakicheza muziki wakati wa mapumuziko ya semina ya mapambano dhidi ya vitendo vya ukeketaji.
(Picha zote na Nathaniel Limu).


0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!