WIZARA YA UCHUKUZI
                               MAMLAKA  YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12 ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO. 
TAREHE 12/04/2013.
| 
[Mikoa ya Kagera, Mara,
  Mwanza  na  Shinyanga]: 
[Mikoa ya Kilimanjaro,
  Arusha na Manyara]: 
[Mikoa ya Kigoma, na
  Tabora]: 
[Mikoa ya Dodoma na Singida
  ]: |  | 
Hali ya mawingu, mvua na
  ngurumo katika  
baadhi ya  maeneo 
  na vipindi  vifupi vya jua | 
| 
[Mikoa ya Dar es
  Salaam,  Pwani na Tanga]: 
[Visiwa vya Unguja na
  Pemba]: 
[Mikoa ya Lindi, Mtwara na
  Morogoro]: 
[Mikoa ya  Mbeya, Rukwana Iringa]: 
[Mkoa wa Ruvuma]: |  | 
Hali ya mawingu kiasi, mvua
  na ngurumo katika maeneo machache  na
  vipindi  vya  jua. | 
ANGALIZO: Vipindi vifupi vya mvua kubwa vinatarajiwa katika baadhi
ya maeneo ya mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara , Singida, Kigoma ,Tabora,
Mwanza, Musoma na Kagera.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
| 
MJI | 
Kiwango cha juu cha
  joto | 
Machweo (Saa) | 
| 
ARUSHA | 
27°C               
   | 
1836 | 
| 
D'SALAAM | 
32°C           
   | 
1823 | 
| 
DODOMA | 
28°C | 
1837 | 
| 
KIGOMA             | 
30°C | 
1902 | 
| 
MBEYA | 
27°C | 
1845 | 
| 
MWANZA | 
28°C | 
1850 | 
| 
TABORA | 
29°C | 
1850 | 
| TANGA | 
33°C | 
1825 | 
| 
ZANZIBAR | 
31°C           
   | 
1823 | 
| 
PEMBA | 
                      32°C | 
1825 | 
| 
MOROGORO | 
31°C | 
1832 | 
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya
km 40 kwa saa;kutoka  Kusini kwa  ukanda wote wa pwani.
Hali ya bahari:
Inatarajiwa kuwa na mawimbi Makubwa.
Matazamio kwa
usiku wa leo Alhamisi 12/04/2013: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo
tarehe 12/04/2013.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.
 
 
0 comments:
Chapisha Maoni