Searching...
Alhamisi, 18 Aprili 2013

UTABIRI WA HALI YA HEWA APRIL 18-ALHAMISI



           WIZARA YA UCHUKUZI
                               MAMLAKA  YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12 ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 18/04/2013.

[Mikoa ya Kagera, Mara, Mwanza  na  Shinyanga]:
[Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara]:
[Mikoa ya Kigoma, na Tabora]:
[Mikoa ya Dar es Salaam,  Pwani na Tanga]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
[Mkoa wa Morogoro (Kaskazini)]:

Hali ya mawingu, mvua na ngurumo katika baadhi ya maeneo na vipindi  vifupi vya jua
[Mikoa ya Dodoma na Singida ]:
[Mikoa ya  Iringa, Mbeya na Rukwa]:
[Mikoa ya Lindi  na Mtwara]:
Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo machache  na vipindi  vya  jua.
[Mkoa wa Morogoro (Kusini)]:
Hali ya mawingu kiasi, mvua katika maeneo machache  na vipindi  vya  jua.
 [Mkoa wa Ruvuma]:

Hali ya mawingu kiasi na vipindi  vya  jua.

ANGALIZO: VIPINDI VIFUPI VYA MVUA KUBWA VINATARAJIWA KATIKA BAADHI YA MAENEO YA MIKOA YA DAR ES SALAAM, TANGA, PWANI, LINDI, ARUSHA, KILIMANJARO, MANYARA , MARA, RUKWA, KATAVI, MBEYA PAMOJA NA VISIWA VYA UNGUJA NA PEMBA.

VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
Kiwango cha juu cha joto
Machweo (Saa)
ARUSHA
                20°C               
12:36
D'SALAAM
            32°C           
12:23
DODOMA
28°C
12:37
KIGOMA           
26°C
01:02
MBEYA
22°C
12:45
MWANZA
28°C
12:50
TABORA
27°C
12:50
TANGA
31°C
12:25
ZANZIBAR
            31°C           
12:23
PEMBA
            30°C           
12:25
MOROGORO
              29°C            
12:32

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka  Kusini kwa kasi ya km 30 kwa saa katika Pwani ya
             Kaskazini na kutoka Kusini-Mashariki kwa kasi ya km 20 kwa saa katika Pwani ya Kusini.

Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi madogo madogo hadi makubwa kiasi.

Matazamio kwa usiku wa leo Alhamisi 18/04/2013: Mabadiliko kidogo.

Utabiri huu umetolewa leo tarehe 18/04/2013.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!