Searching...
Jumamosi, 27 Aprili 2013

UMOJA WA WAENDESHA BODA BODA SINGIDA KATIKA SIASA

Mwendesha boda boda wa kituo cha bodaboda kilichopo jirani na jengo la utamaduni mjini Singida Juma Ali, akipandisha bendera ya CHADEMA kwenye mlingoti mmoja wenye bendera ya CCM. Pia mlingoti mwingine kumetundikwa bendera za chama cha TLP na CUF. Juma amedai wametundika bendera hizo mahali pamoja ili kuionyesha jamii ya mji wa Singida kwamba wao ni wamoja isipokuwa wanatofautiana tu kwa itikadi za vyama vyao.
 (Picha na Nathaniel Limu).

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!