Searching...
Alhamisi, 25 Aprili 2013

MAVUVUZELA MAPYA YAZINDULIWA BRAZIL.

 Brazil's President Dilma Rousseff holds a caxirola, the musical instrument to be used at the 2014 Brazil World Cup 
Rais wa Brazil Dilma Rousseff  akiwa ameshika caxirola, Vuvuzela mpya kwa ajili ya kushangilia fainali za kombe la dunia mwakani.
Vuvuzela hiyo inaitwa Caxirola itakuwa ya plastiki kama za Africa kusini lakini haitaweza kuwakera wachezaji wanapokuwa uwanjani.

cameroon vuvuzelaMtoto Mdogo raia wa Cameroonian na shabiki wa soka akipuliza Vuvuzela yake katika fainali za kombe la dunia mwaka 2010.
South African fans, blow their vuvuzelas as they cheers at a beach in Durban, South Africa, Wednesday, June 16, 2010, prior to the World Cup Group A soccer match between South Africa and Uruguay.
Brazil's President Dilma Rousseff with the instrument's creator Carlinhos BrownRais wa Brazil Dilma Rousseff  akiwa katika picha na mgunduzi wa Vuvuzela hiyo bwana Carlinhos Brown
Brazil's President Dilma Rousseff, artist Carlinhos Brown and Brazil's Minister of Culture Marta Suplicy use the caxirola to play the national anthemRais wa Brazil Dilma Rousseff, mwanasanaa Carlinhos Brown na waziri wa utamaduni nchini Brazil Marta Suplicy wakiziangalia Vuvuzela za kuimbia wimbo wa taifa
Unpopular: The South African horn was the over-riding memory of the last World Cup for manyHawa ni mashabiki wa Bafana Bafana walipokuwa wanapiga Vuvuzela kwenye fainali za 2010 nchini mwao


0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!