![]() |
| Kaimu Meya wa manispaa ya Iringa Vitus Mushi (kushoto) akisalimiana na waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa baada ya kutua uwanja wa ndege wa Nduli Iringa |
![]() |
| Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Teresia Mahongo akimpokea Lowassa. |
![]() |
| Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Iringa mwanahabari Tumain Msowoya akisalimiana na Lowassa |
![]() |
![]() |


;">
kada wa CCM Bw Lazaro akisalimiana na Lowassa
![]() |
| Mfanyakazi wa radio Overscomers Fm Adela kivamba akisalimia na Lowassa |
![]() |
| Mbunge wa jimbo la Mufindi Kusini Mendrady Kigola akijitambulisha mbele ya Lowassa |
![]() |
| Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe akitoa neno mbele ya Lowassa kwa kuwataka viongozi wa serikali kujisahihisha kuwa mambo yanavyokwenda sivyo yanavyotakiwa kwenda |
![]() |
| Mbunge wa jimbo la Mwibara Kangi Lugola pacha wa Filikunjombe akinena jambo |









0 comments:
Chapisha Maoni