Searching...
Ijumaa, 4 Julai 2014

UFARANSA NJE KOMBE LA DUNIA,UJERUMANI HAOOOOOOOOOO NUSU FAINALI.

Heads up: Germany defender Mats Hummels holds off the challenge of Raphael Varane to open the scoring Timu ya taifa ya Ujerumani imeifunga timu ya taifa ya Ufaransa kwa goli moja kwa sifuri na kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo mikubwa inayoendelea huko nchini Brazili.
Perfect placement: Hummels' header loops towards Hugo Lloris' goal after just 13 minutes in Rio Mchezaji wa beki wa Ujerumani Martin Hummels akiifungia timu yake goli pekee kunako dakika ya 12.
Helpless: France keeper Lloris can only watch as the ball nestles into the bottom corner of his net early on Mlinda mlango wa Ufaransa akichumpa kuokoa mchomo lakini anajikuta akiushuhudia mpira ukielea wavuni.
Man of the moment: Hummels runs off to celebrate putting Germany ahead as Lloris is left in a heap Hummels akishangilia goli lake pekee lililoivusha Ujerumani kwenda nusu fainali.
Tight unit: Germany's players wander back for kick-off after congratulating Hummels on his impressive header Umoja ni nguvu-wachezaji wa Ujerumani wakipongezana baada ya kuifunga Ufaransa.
My ball: France midfielder Yohan Cabaye (right) stretches to challenge Benedikt Hoewedes (left) Kiungo wa Hispania Yohan Cabaye akichuana na Benedikt Hoewedes wa Ujerumani.
Going down: Germany forward Thomas Muller falls theatrically inside the famous Maracana stadium Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Ujerumani Thomas Muller akianguka ndani ya eneo la hatari kutafuta penalti lakini mwamuzi alimpuuza na kuendelea na game.f

Safe hands: Lloris (left) clutches the ball after diving bravely at the feet of Muller (centre) beki wa Ufaransa Patrice Evra na golikipa wake wakiwa chini kuokoa mchomo wa mchezaji wa Ujerumani.

In control: Germany striker Miroslav Klose (right) takes a touch under pressure from Mathieu Debuchy (left) Mshambuliaji wa Ujerumani Miroslav Klose akichuana vilivyo na Mathieu Debuch.
No way through: Germany keeper Manuel Neuer (right) pulls off an acrobatic save to keep out an effort from Mathieu Valbuena Mlinda mlango wa Ujerumani Manuel Neuer akiokoa shuti kali kutoka kwa Mathieu Valbuena wa Ufaransa.
Battle: Midfielders Toni Kroos (right) and Paul Pogba (left) tussle for the ball during the first period Kiungo wa Ujerumani Toni Kroos akipambana na Paul Pogba
Airbourne: Real Madrid defender Varane leaps into the air to bring the ball down with ease beki wa Ujerumani Varane akiokoa mchomo.
Big opportunity: France striker Karim Benzema (right) has an effort at goal but can't beat Hummels and Neuer Mshambuliaji wa Ujerumani Karim Benzema akihangaika kusawazisha goli bila mafanikio.
Driving force: Blaise Matuidi (centre) attempts to burst between Bastian Schweinsteiger (left) and Jerome Boateng (right) Blaise Matuidi wa Ufaransa akichuana na Bastian Schweinsteiger huku Jerome Boateng akiwa karibu kabisa kutoa msaada.
Booked: Germany midfielder Sami Khedira (right) is shown a yellow card for a foul in the second half Kiungo wa Ujerumani Sami Khedira akilimwa kadi ya njano baada ya kufanya madhambi uwanjani.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!