Searching...
Jumanne, 1 Julai 2014

NAJISIKIA VIBAYA MSHAMBULIAJI WANGU KUJIUNGA NA CHELSEA-KOCHA

Rubber-stamped: Chelsea have agreed a £32m move for Atletico Madrid striker Diego Costa
Mshambuliaji nguli wa klabu ya Atletico Madrid Diego Costa amemaliza uvumi wa muda mrefu kuhusiana na uhamisho wake kutoka Hispania kwenda England kujiunga na klabu ya Chelsea kwamba tayari biashara imekamilika ambapo Chelsea wamelazimika kutoa kitita cha paundi milioni 32kumnasa mshambuliaji huyo.
Disappointment: Costa was part of the Spain squad that bombed out of the World Cup in the group stages
Diego Costa akipasha na timu ya taifa ya Hispania katika michuano ya kombe la dunia huko nchini Brazili.
All change: Atletico coach Diego Simeone will be disappointed to see his prolific frontman leaving the club Kocha wa klabu ya Atletico Madrid Diego Simeone amesema anajisikia vibaya sana kumuona mshambuliaji wake namba moja akijiunga na klabu ya Chelsea,ila amemtakia kila la kheri huko England.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!