Searching...
Jumanne, 14 Januari 2014

NAKARIBIA KUREJEA MANCHESTER UNITED - CHRISTIAN RONALDO


Ronaldo: I nearly went back to United
CHRISTIAN RONALDO AKIWA NA TUZO YAKE YA MWANASOKA BORA WA DUNIA.
Baada ya kutwaa taji alilokuwa akiliota miaka nenda miaka rudi la mchezaji bora wa dunia, mshambuliaji nyota wa Real Madrid Cristiano Ronaldo amesema jana usiku kwamba anakaribia kurejea nyumbani Manchester United msimu ujao.
Cristian Ronaldo amekuwa akihusishwa mara kwa mara kurejea ligi kuu England kunako Old Trafford sasa amekoleza moto huo kwa kusema msimu ujao atarudi nyumbani
Manchester United's Portuguese forward C
RONALDO ENZI ZAKE AKIWA MAN U.
‘Ni kweli nilizungumza na Rio Ferdinand kuhusu kurejea Man U msimu ujao,’ alisema Ronaldo.
‘Rio ni mtu makini sana na amejitahidi mara kwa mara kubadili mawazo yangu kuhusu kurejea manchester United.
‘Nimefikiria mara kwa mara kuhusu United. bado wapo moyoni mwangu na ndiyo timu niliyoichezea miaka minne. Naipenda sana timu hii.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!