Searching...
Jumatatu, 13 Januari 2014

MAELFU DUNIANI WAJITOKEZA KUMUAGA ARIEL SHARON

Jeneza la Ariel Sharon likiwa nje ya bunge la Israel mjini Jerusalem.(13.01.2014) 
Jeneza la Ariel Sharon likiwa nje ya bunge la Israel mjini Jerusalem.leo (13.01.2014)
Maafisa wa jeshi la Israel wakiwa na jeneza la Ariel Sharon katika bunge la Israel Knesset mjini Jerusalem. (13.01.2014). 
Wananchi wa Israel Jumatatu(13.01.2014)wametoa heshima zao za mwisho kwa Waziri Mkuu wa zamani Ariel Sharon mtu ambaye amesifiwa kuwa ni shujaa wa vita nchini mwake na kuonekana kuwa mhalifu wa vita na nchi za Kiarabu. 
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu akisalimiana na Makamo wa Rais wa Marekani John Biden wakati wa ibada ya mazishi ya Sharon.(13.01.2014).  
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu akisalimiana na Makamo wa Rais wa Marekani John Biden wakati wa ibada ya mazishi ya Sharon.Leo (13.01.2014).
 Rais Shimon Peres wa Israel na Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu wakisalimiana na jamaa wa familia ya Sharon wakati wa ibada ya mazishi. (13.01.2014).
 Rais Shimon Peres wa Israel na Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu wakisalimiana na jamaa wa familia ya Sharon wakati wa ibada ya mazishi. (13.01.2014).

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!