HATARIIIIII...MWANAMKE WA KITANZANIA MREMBO AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA CHINA.
Home
»
Unlabelled
» HATARIIIIII...MWANAMKE WA KITANZANIA MREMBO AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA CHINA.
Hapa ni Polisi wakichunguza vidonge ambavyo huyu mrembo alikuwa amevimeza tumboni.
Waandishi wa habari wakipiga picha vidonge vya heroin alivyokamatwa navyo mrembo huyu wa Kitanzania.
Mwanamke wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 28 amekamatwa na kilo 1.1 za
dawa za kulevya aina ya heroin huko Macao. Dawa hizo zilikutwa tumboni
mwake baada ya kushtukiwa na kufanyiwa X-ray ambapo alikutwa na jumla ya
vidonge 66 vyenye thamani ya dola za Kimarekani 137,720.
Mwanamke huyo alikuwa akisafiri kutoka Thailand akielekea Macao Jumanne
iliyopita. Aliwaambia polisi kuwa alikuwa anaelekea Guangzhou ambao ni
mji wa jimbo la Guangdong huko Chima.
0 comments:
Chapisha Maoni