Searching...
Ijumaa, 22 Novemba 2013

MAKUBWA: ZITTO KABWE AVULIWA VYEO VYOTE VYA KICHAMA!

Habari zilizotufukia hivi punde ni kwamba Chadema kimemvua Zitto Kabwe vyeo vyote vya kichama kwa muda yaani Naibu Katibu Mkuu Taifa, Mjumbe wa Kamati Kuu na Naibu Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kwa kukiuka taratibu za chama.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!