![]() |
| Maafisa polisi na wananchi wakiwa wameuzingira mwili wa marehemu Mkandarasi. |
![]() |
| Umati wa watu mtaa wa Msikiti wa Ijumaa. |
![]() |
| Mashuhuda wakiutizama mwili wa kijana aliyeuwa kwa kuchomwa kisu. |
![]() |
| Mashuhuda. |
![]() |
| Polisi walifika eneo la tukio na kisha wakaondoka na miili ya marehemu hao nao wengine wakibakia eneo la tukio kubaini nini chanzo. |
![]() |
| Mwananchi akifukia damu zilizotapakaa kwenye barabara. |








0 comments:
Chapisha Maoni