Searching...
Jumamosi, 5 Oktoba 2013

TAHADHARI PICHA ZINATISHA-BASI LA MACHINGA LAGONGANA NA LORI LAUA

DEREVA WA BASI LA MACHINA AKITOLEWA KWENYE BASI HILO BAADA YA KUFARIKI KUTOKANA NA AJALI HIYO
UPANDE WA DEREVA ULIVOHARIBIKA
MASHUHUDA ENEO LA AJALI
WASAFIRI NA MASHUHUDA WA AJALI HIYO KATIKA ENEO LA TUKIO
SEHEMU YA DEREVA YA BASI LA MCHINGA LILIVYOHARIBIKA (PICHA NA MAULID KAMBAYA)
Mtu mmoja amefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha basi la abiria la machinga na lori eneo la Ngunja kimanzichana leo asubuhi.
Aliyefariki ni dereva wa basi hilo na walioshuhudia ajali hiyo wamesema chanzo ni mwendo kasi wa magari hayo jambo lililosababisha yagongane uso kwa uso
Basi hilo linalofanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Mtwara lina namba za usajili T607 BYT,limeharibika vibaya hasa sehemu ya dereva hali iliyosababisha kifo cha dereva huyo.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!