| Saa 6 usiku!Somewhere in Dar es salaam with ma producer Tudd thomass nikukuandalia mambo mazuri mapya |
| Idea zipo nyingi kweli sijui nitumie ipi!!!! |
| Idea iko poa,tatizo mistari haipangiki kabisaa!!! |
| Huu mstali sijui uanze mwanzo?? |
| .............au chorus asimamie mwanangu Chegge...??? |
| Kisula nae!!na hapa alinipiga??? |
| Ahsante Mungu,mistari yote imesimama penyewe...ila chorus sasa |
| Ha ha ha hivi Chegge stayle yangu na yako vinaendana kweli!!?? |
| Tudd vipi tena!!nishamaliza ananirudisha nyumaa..ha ha ha!!!!! |
| Saa 10 alfajiri!!Baby ananipigia akihofia usalama wangu-dJ sEK bLO |
0 comments:
Chapisha Maoni